Wanasayansi wamegundua mnyama mzito zaidi kuwahi kutokea kwenye Sayari ya Dunia. Ni nyangumi wa zamani, aliyetoweka kwa muda mrefu ambaye ana uzani wa karibu tani 200. Mifupa ya kiumbe huyo ...
Ni jambo lisilopingika kuwa wanyama tunaowapenda kuwafuga nyumbani wamekuwa sehemu muhimu ya familia nyingi na wanapata nafasi zaidi na zaidi (na kupendwa) kutoka kwa wanaowafuga (binadamu).