Wote walimtaja Mkapa kama mpatanishi na kwa pamoja walizungumzia mchango wake kwenye upatanishi wa mgogoro wa kisiasa wa Kenya uliotokana na Uchaguzi Mkuu wa Desemba mwaka 2007 ulioiweka nchi hii ...
Mkapa pia alihudumu katika nafasi ya Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Canada na Marekani. Pia alikuwa waziri wa Mambo ya Nje katika vipindi viwili tofauti katika utawala wa Nyerere na baadaye ...