Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Geita (GGML) imetumia zaidi ya Sh1.8 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa nyumba sita za maofisa wa ...
Ni majira ya mvua ya masika katika maeneo mbali mbali nchini Kenya na kwa kawaida wakenya wengi huzingatia mvua kuwa Baraka. Lakini mwaka huu mvua imekuja na kero la mafuriko. Maeneo mengi ya ...
UJENZI wa nyumba 35 za waathirika wa maporomoko ya udongo na mawe wilayani Hanang mkoani Manyara uliojengwa na Tanzania Red ...
Taifa la Uholanzi lenye uhaba wa ardhi lakini watu wengi, mahitaji ya nyumba hizo yanaongezeka. Na watu wengi wanapotazamia kujenga juu ya maji , maafisa wanaporesha sheria ili kurahisisha ujenzi ...
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amesema usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo umeendelea ...
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amezindua nyumba pacha ya walimu wa Shule ya Sekondari Lubonde, ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, UN Antonio Guterres ametoa wito wa kusitisha kabisa mara moja shughuli zote za makazi kwenye Eneo Linalokaliwa la Palestina.