Daraja refu zaidi duniani ambalo sakafu yake ni kioo limefunguliwa katika mji wa Zhangjiajie katika mkoa wa Hunan nchini China. Daraja hilo ndilo la juu zaidi lenye sakafu ya kioo duniani na ...
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amesema kuwa gari hiyo ililengwa na askari wa Israel Jumanne usiku na waliifyatulia risasi 10 ambazo baadhi zililenga kioo cha mbele ...