Nyamlani alisema Dar es Salaam ndio kioo cha soka hapa Tanzania, hivyo anataka kuona ushindani wa ligi zake unarejea kama ilivyokuwa miaka ya nyuma pamoja na kuzalisha waamuzi, makocha na wachezaji ...
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amesema kuwa gari hiyo ililengwa na askari wa Israel Jumanne usiku na waliifyatulia risasi 10 ambazo baadhi zililenga kioo cha mbele ...